Uhamishaji wa maarifa ya asili kuhusu ufugaji nyuki nchini Kenya
Jamii za asili huchumaa asali vipi bila kuumiza nyuki wala mazingira? Wakati wa Siku ya Watu wa Asili huko Chepkitale, wazee walionyesha kizazi kipya jinsi ya kuwasha moto na kuchuma asali. Jamii ya asili ya Ogiek ya Mlima Elgon kihistoria ni jamii ya wawindaji-wakusanyaji na…








