Skip to main content
Category

Ufuatiliaji wa viumbe hai

Jamii Zinazoongoza Njia: Masomo kutoka Chepkitale na Naramam AfrikaAinaCIPDPHaki za ardhi na rasilimaliIINKenyaKifunguMaarifa ya jadi na ya kienyejiMandhariMikoaNchiUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamiiWashirika
03.10.25

Jamii Zinazoongoza Njia: Masomo kutoka Chepkitale na Naramam

Makala na picha na Olivia Tawarar, IIN Mnamo Juni 2025, Transformative Pathways ilifanya Warsha ya Ugani ya Kanda ya Afrika nchini Kenya, iliyoandaliwa kwa pamoja na Chepkitale Indigenous People Development Project (CIPDP) na Indigenous Information Network (IIN). Lengo la warsha hiyo lilikuwa kutafuta fursa za…
Kuleta sauti pamoja juu ya ufuatiliaji wa bayoanuwai unaoongozwa na jamii KenyaKifunguLMMaarifa ya jadi na ya kienyejiMichakato ya kimataifaThailandUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamiiUNEP-WCMC
01.08.25

Kuleta sauti pamoja juu ya ufuatiliaji wa bayoanuwai unaoongozwa na jamii

Kabla ya Siku ya Kimataifa ya jamii asilia Duniani, tarehe 1 Agosti 2025, UNEP-WCMC iliandaa onyesho la filamu ya hali halisi ya LifeMosaic "Uchoraji wa Ramani na Ufuatiliaji Maeneo ya watu wa Asili", ikifuatiwa na kikao cha kubadilishana ujuzi kuhusu mifumo ya ufuatiliaji wa bayoanuwai…
Taarifa ya Tohmle AIPPAsiaHaki za ardhi na rasilimaliIMPECTKifunguMaarifa ya jadi na ya kienyejiMaisha endelevuMalaysiaMandhariMichakato ya kimataifaPACOSPASDPIKPThailandUfilipinoUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamii
16.12.24

Taarifa ya Tohmle

Taarifa hii ilitengenezwa katika kongamano wa nne wa Indigenous Knowledge and Peoples of Asia (IKPA) wa Haki za Watu wa Asili, Bayoanuwai, na Mabadiliko ya Tabianchi, iliyofanyika Oktoba 1-4, 2024, huko Pokhara, Nepal Asia ni eneo lenye anuwai nyingi za kibaolojia na kitamaduni, ambapo sisi,…
Ufuatiliaji wa kijamii wa ardhi ya mababu na rasilimali katika mazingira ya mijini AsiaHaki za ardhi na rasilimaliKifunguMaarifa ya jadi na ya kienyejiPIKPUfilipinoUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamii
16.12.24

Ufuatiliaji wa kijamii wa ardhi ya mababu na rasilimali katika mazingira ya mijini

Uzoefu wa jamii ya Ibaloy ya Muyot, Happy Hallow, Baguio City Jamii ya Muyot huko Barangay Happy Hallow, Baguio City, imekuwa nyumbani kwa jamii asilia  ya Waibaloy kwa vizazi. Wakaaji wa awali na wazao wao walitunza ardhi, misitu, na malisho kwa ajili ya kuendelea kuishi.…
Uchoraji wa Ramani na Ufuatiliaji Maeneo ya watu wa Asili AfrikaAinaAmerikaAsiaHaki za ardhi na rasilimaliLMMaarifa ya jadi na ya kienyejiMandhariMikoaNchiUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamiiVideoWashirika
30.09.24

Uchoraji wa Ramani na Ufuatiliaji Maeneo ya watu wa Asili

Filamu hii imetengenezwa na watengenezaji filamu sita wazawa kutoka Asia, Amerika Kusini na Afrika, kuhusu uchoraji wa ramani na ufuatiliaji katika maeneo ya kiasili. Filamu hii imeundwa ili kuongeza ufahamu wa jamii na inaangazia mbinu za mababu na kiteknolojia za uchoraji ramani na ufuatiliaji, pamoja…
Monitors gathering biodiversity data in Mt. Elgon Forest
Majaribio ya ufuatiliaji wa bayoanuwai ya kijamii yanaanza katika Mlima Elgon AfrikaAinaCIPDPKenyaKifunguMaarifa ya jadi na ya kienyejiMandhariMikoaNchiUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamiiWashirika
23.09.24

Majaribio ya ufuatiliaji wa bayoanuwai ya kijamii yanaanza katika Mlima Elgon

Baada ya mfululizo wa mafunzo ya ndani na vitendo vya uwandani pamoja na wazee, wachunguzi wamepata ujuzi wa kuwawezesha kukusanya data. Kwa tajriba ya hapo awali ya utumiaji wa zana ya kuchora ramani ambayo imebobea na baadhi ya wachunguzi, jumuiya sasa inatumia ujuzi uliopatikana kurekodi…
Mkakati na Mpango Kazi ya Bayoanuwai ya jamii asilia wa Ufilipino AsiaKifunguMichakato ya kimataifaPIKPUfilipinoUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamii
05.08.24

Mkakati na Mpango Kazi ya Bayoanuwai ya jamii asilia wa Ufilipino

Mfumo wa Kimataifa wa Bayoanuwai wa Kunming-Montreal (KMGBF), uliopitishwa na Wanachama wa Mkataba wa Anuwai ya Kibiolojia (CBD) mwaka wa 2022, unatambua majukumu na michango muhimu ya jamii asilia na jamii za mitaa kama walinzi wa bayoanuwai na kama washirika katika uhifadhi, urejeshaji wake na…
Wenyeji Nchini Kenya Wakiadhimisha Siku za Mazingira Duniani na Bayoanuwai AfrikaAinaBlogIINKenyaMaarifa ya jadi na ya kienyejiMaisha endelevuMandhariMikoaNchiUfuatiliaji wa viumbe haiUhifadhi unaoongozwa na jamiiUncategorisedWashirika
05.07.24

Wenyeji Nchini Kenya Wakiadhimisha Siku za Mazingira Duniani na Bayoanuwai

Siku ya Mazingira Duniani Wenyeji wa Naramam Pokot Magharibi waliadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa shauku kubwa. Eneo ambalo lina sifa ya makorongo yenye kina kirefu, lilionyesha kujitolea kwa kiasi kikubwa kukarabati ardhi yao iliyoharibika. Wanaume, wanawake, vijana, na wazee wote walishiriki kikamilifu katika juhudi…